Tarehe 3 Juni 2026, washiriki mbalimbali walikutana Mkoani Morogoro katika kikao kazi cha kutathmini utekelezaji wa Mradi wa Kurejesha Wanafunzi Shuleni, unaotekelezwa kwa ushirikiano kati ya Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima (TEWW) na Asasi ya Kampeni ya Elimu kwa Wanawake (CAMFED).