TAASISI YA ELIMU YA WATU WAZIMA
(TEWW)

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
BAECD - ODL

Shahada ya Elimu ya Watu Wazima na Maendeleo ya Jamii - Masafa -  Inatolewa katika Mikoa yote 26 ya Tanzania Bara.

 

 

Muda : miaka 3

  Sifa za Kuingilia;

Matokeo ya Kidato cha Sita yenye Ufaulu angalau masomo mawili yenye alama 4 kwa masomo muhimu.

AU

Stashahada ya ya Kawaida ya yenye ufaulu wa  GPA 3.0 kutoka chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.

Ada ya Mwaka: Mwaka wa kwanza - 1,405,000, Mwaka wa pili - 1,395,000  na Mwaka wa tatu - 1,575,000 ( Inalipwa katika awamu mbili).